Читать книгу Mungu Wa Ajabu онлайн

6 страница из 7

Hakuna kitu kinachoumiza sana, Anaweza

kukifariji.

Hakuna kitu kilichovunjika sana, Anaweza

kukirekebisha.

Hakuna kitu cha kutisha sana, Anaweza

kukifukuza.

Hakuna kitu ambacho hakiwezi kudhibitiwa,

Anaweza kukidhibiti.

Hakuna kitu kilicho mbali sana, Anaweza kukifikia.

Hakuna kitu duni sana, Anaweza kufanya

kifanikiwe.

Hakuna kitu kilichofichwa sana, Anaweza kukipata.

Hakuna kitu kigumu sana, Anaweza kukilegeza.

Hakuna kitu ambacho kinaugua sana, Anaweza

kukiponya.

Hakuna kitu kilichofungwa sana, Anaweza

kukifungua.

Hakuna kitu kitupu sana, Anaweza kukijaza.

Hakuna kitu kidhaifu sana, Anaweza kukiimarisha.

Hakuna kitu kidogo sana, Anaweza kukizidisha.

Hakuna kitu kisicho na maana sana, Anaweza

kukikuza.

Hakuna kitu kisichoeleweka sana, Anaweza kukifafanua.

Hakuna lisilowezekana kwa yeye anayeamini.

Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilowezekana,

Yeye atafanya.

ssss1

Hii ndiyo siku ambayo Bwana ameifanya

Nami nitafurahi na kushangilia ndani yake.

Nitaimba na kuomba,

bila kujali nini kinakuja kwangu.

Правообладателям